Wachezaji wa Fulham wakifurahia na Kombe lao baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Aston Villa, bao pekee la Nahodha Tom Cairney dakika ya 23 katika fainali ya mchujo wa Ligi Daraja la Kwanza England, maarufu kama Championship usiku wa jana Uwanja wa Wemblery, hivyo kufanikiwa kurejea Ligi Kuu msimu ujao wa 2018-19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside LeBron James's family feud with new Philadelphia 76ers teammate amid
the bombshell move that rocked the NBA
-
The 41-year-old, who left the Lakers after eight seasons, admitted he
thought he had played his final game, but has decided instead to sign a
two-year deal...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment