Wachezaji wa Fulham wakifurahia na Kombe lao baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Aston Villa, bao pekee la Nahodha Tom Cairney dakika ya 23 katika fainali ya mchujo wa Ligi Daraja la Kwanza England, maarufu kama Championship usiku wa jana Uwanja wa Wemblery, hivyo kufanikiwa kurejea Ligi Kuu msimu ujao wa 2018-19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment