• HABARI MPYA

    Tuesday, May 29, 2018

    YANGA NA AZAM FC KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Azam FC, Iddi Kipagwile akiwachambua wachezaji wa Yanga kabla ya kupiga mpira jana katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-1
    Beki wa Yanga SC, Gardiel Michael akimkwatua mshambuliaji wa Azam FC, Iddi kipagwile
    Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Zaid akimtoka kiungo wa ulinzi wa Yanga, Maka Edward
    Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akimuacha chini mshambuliaji wa Yanga, Mzambuia Obrey Chirwa 
    Kiungo wa Yanga, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akiondoka na mpira katikati ya wachezaji wa Azam FC
    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony
    Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akiupigia hesabu mpira mbele ya wachezaji wa Azam FC 
    Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony (kushoto) akimtoka beki wa Azam FC, Bruce Kangwa
    Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA AZAM FC KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top