Beki wa kulia, Mbrazil Fabio Henrique Tavares, maarufu kama Fabinho akisaini mkataba wa kujiunga na Liverpool kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 39.4 kutoka Monaco ambao utamuweka Anfield hadi Juni 2023, akichukuliwa kwenda kukamata nafasi ya Emre Can PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tuesday, May 29, 2018
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment