Mashabiki wa Yanga wakifuatilia kwa huzuni mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana dhidi ya Azam FC, timu yao ikichapwa 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hawa jamaa ndiyo hoi kabisa wakiishuhudia timu yao ikilambwa 3-1
Hapa kuna viongozi na wapenzi wa Azam FC wakifuatilia kwa furaha mchezo wa jana
Akina dada hawa ni sehemu ya mashabiki waliojitokeza uwanjani jana
Wengine hawa nao wakifuatilia mchezo jana kwa raha zao
AI is boosting accuracy for clinicians, Philips North America CEO says
-
By Amina Niasse NEW YORK, June 9 (Reuters) - Artificial intelligence is
helping improve accuracy in patient care and in some cases saving time and
money, a...
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment