MABINGWA WA NCHI, SIMBA SC MJENGONI BUNGENI DODOMA MAPEMA JUMATATU
Wachezaji wa Simba SC wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wabunge wenye mapenzi na timu hiyo Bungeni mjinu Dodoma mapema Jumatatu kufuatia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Mkali wa mabao wa Simba SC, Emmanuel Okwi (kushoto) akiwa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Daniel Shonza
Hapa wachezaji na makocha wa Simba wakiwa ndani ya ukumbi Bunve mjini Dodoma mapema Jumatatu
0 comments:
Post a Comment