• HABARI MPYA

    Saturday, January 31, 2009

    MAMBO YALIVYOKUWA LAGOS 1980...

    Nahodha wa Taifa Stars, Henry Joseph (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Mauritius katika mechi ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika nchini Angola, mwaka 2010. Tanzania haijafuzu.

    Tanzania imeshiriki mara moja tu fainali za soka Kombe la Mataifa ya Afrika CAN, mwaka 1980 mjini Lagos Nigeria na kutolewa Raundi ya Kwanza. Ilipangwa kundi gani, ilicheza na nani lini na matokeo yalikuwaje? cheki hapo chini.......

    KUNDI A
    Lagos.
    Machi 8, 1980
    Nigeria 3-1 Tanzania
    WAFUNGAJI:
    Nigeria: Lawal dk 11, Onyedika dk. 35, Odegbami dk 85.
    Tanzania; Thuwein Ally dk. 54
    Misri 2-1 Ivory Coast
    WAFUNGAJI:
    Misri: Maher Hammam dk. 8, Mokhtar Mokhtar dk. 20
    I. Coast: Ani Gome dk. 7
    Machi 12, 1980
    Misri 2-1 Tanzania
    WAFUNGAJI:
    Misri: Hassan Shehata dk. 32, Mosaad Nour dk. 38
    Tanzania: Thuwein Ally dk. 86
    Nigeria 0-0 Ivory Coast:
    Machi 15, 1980
    Ivory Coast 1-1 Tanzania
    WAFUNGAJI:
    Ivory Coast: Kobenan dk. 7
    Tanzania: Thuwein Ally dk. 59
    Nigeria 1-0 Misri
    MFUNGAJI: Isima dk. 15

    MSIMAMO WA KUNDI A
    Pts P W D L GF GA GD
    Nigeria 5 3 2 1 0 4 1 +3
    Misri 4 3 2 0 1 4 3 +1
    I. Coast: 2 3 0 2 1 2 3 -1
    Tanzania 1 3 0 1 2 3 6 -3
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO YALIVYOKUWA LAGOS 1980... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top