Mkali wa mabao: Mshambuliaji Luis Suarez akiichezea Barcelona A dhidi ya Barcelona B katika mchezo wa kirafiki uliodumu kwa dakika 60 ambao alifunga mabao mawili kwenye ushindi wa 5-1. Suarez anatumikia adhabu hadi Oktoba baada ya kumng'ata beki wa Italia Giorgio Chiellini katika Kombe la Dunia Juni mwaka huu.
After nearly 20 years in Abuja, Sa’idu Yusuf loses APC primary
-
After nearly two decades in federal politics, Sa’idu Yusuf Miga has lost
his bid to return to the House of Representatives after failing to secure
the Al...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment