Mkali wa mabao: Mshambuliaji Luis Suarez akiichezea Barcelona A dhidi ya Barcelona B katika mchezo wa kirafiki uliodumu kwa dakika 60 ambao alifunga mabao mawili kwenye ushindi wa 5-1. Suarez anatumikia adhabu hadi Oktoba baada ya kumng'ata beki wa Italia Giorgio Chiellini katika Kombe la Dunia Juni mwaka huu.
The 'big brother' helping Arteta's Arsenal 'over the line'
-
As Arsenal pursue a first Premier League title in 22 years, BBC Sport looks
at how the relationship between Mikel Arteta and his assistant, Gabriel
Heinze,...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment