Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dylan Mulvaney Fires Back at Trump After President’s Mocking WHCD Speech:
‘I Am Permanently Burned Into Their Retinas’
-
Dylan Mulvaney shared a response to Trump's mocking WHCD speech,
congratulating Kaitlan Collins and voicing support for transgender youth.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment