Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment