Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Silva to leave Chelsea at end of season
-
Brazilian centre-back Thiago Silva will leave Chelsea at the end of the
2023-24 season.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment