Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Crowd Reaction To Donald Trump At NBA Finals Goes Viral (Video)
-
Donald Trump became the first sitting President in United States History to
attend the NBA Finals. This is the second time during this term that he has
mad...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment