• HABARI MPYA

    Saturday, September 01, 2018

    CHELSEA YAFANIKISHA DAKIKA ZA MWISHO YAICHAPA BOURNEMOUTH 2-0

    Pedro akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya 'wagumu' AFC Bournemouth Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili limefungwa na Eden Hazard dakika ya 85  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAFANIKISHA DAKIKA ZA MWISHO YAICHAPA BOURNEMOUTH 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top