Mshambuliaji Sadio Mane akiruka juu kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City Uwanja wa King Power. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45, wakati la Leicester limefungwa na Rachid Ghezzal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC accuses schools, supervisors of extorting candidates in ongoing WASSCE
-
By Gabriel Dike The West African Examinations Council (WAEC) on Monday said
it received alarming reports of supervisors and some schools extorting
candid...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment