MABAO mawili ya mshambuliaji mpya wa Arsenal, Danny Welbeck yameipa England ushindi wa 2-0 dhidi ya Uswisi ugenini katika mchezo wa kwanza wa kufuzu Euro 2016.
Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United, alifunga mabao hayo katika dakika za 59 na 90 na kumfanya kocha Roy Hodgson aondoke na furaha uwanjani.
Vikosi vilikuwa; Usiwsi: Sommer, Lichsteiner, Djourou, von Bergen, Rodriguez, Behrami, Inler, Mehmedi/Drmic dk63), Xhaka/Dzemaili dk74, Shaqiri na Seferovic.
England: Hart, Stones, Cahill, Jones/Jagielka dk77, Baines, Wilshere/Milner dk73, Henderson, Delph, Sterling, Welbeck na Rooney/Lambert dk90.
Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United, alifunga mabao hayo katika dakika za 59 na 90 na kumfanya kocha Roy Hodgson aondoke na furaha uwanjani.
Vikosi vilikuwa; Usiwsi: Sommer, Lichsteiner, Djourou, von Bergen, Rodriguez, Behrami, Inler, Mehmedi/Drmic dk63), Xhaka/Dzemaili dk74, Shaqiri na Seferovic.
England: Hart, Stones, Cahill, Jones/Jagielka dk77, Baines, Wilshere/Milner dk73, Henderson, Delph, Sterling, Welbeck na Rooney/Lambert dk90.
![]() |
Mkali; Danny Welebeck akimtoka beki wa Uswisi kabla ya kufunga jana |
0 comments:
Post a Comment