Bondia Deontay Wilder (kushoto) akimchapa konde Mmarekani mwenzake, Chris Arreola katika pambano lao la uzito wa juu usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Legacy Arena mjini Alabama, Marekani. Wilder alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya nane baada ya mpinzani wake kujiuzulu na kutetea taji lake la WBC uzito wa juu. Hata hivyo, Wilder alivunjika mkono katika pambano hilo, hivyo uwezekano wa kurudi ulingoni haraka kwa ajili ya pambano ama na Anthony Joshua au Tyson Fury ni mdogo sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah and Jurgen Klopp involved in heated CLASH on the touchline
against West Ham... as Liverpool duo argue moments before Egyptian winger
is substituted on
-
Mohamed Salah and Jurgen Klopp became locked in a heated dugout argument as
the Liverpool star prepared to come on against West Ham in Saturday's
Premier L...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment