Sadio Mane akifikiri amefunga baada ya kumlamba chenga kipa Joel Coleman wa Huddersfield, lakini refa akasema Msenegali huyo alichezewa rafu na kukataa bao hilo. Liverpool ilishinda 2-0 Uwanja wa John Smith, mabao ya Marko Grujic na Alberto Moreno kwa penalti na ingeweza kushinda 3-0 kama Philippe Coutinho asingekosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Black Stars mourns death of fitness coach Romeo Ricky Roy
-
Black Stars have confirmed the passing of fitness coach Romeo Ricky
Roy."Sad to announce the sudden passing of our Fitness Trainer Ricky Roy
Romeo. May his...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment