Mshambuliaji wa Chelsea, Victor Moses akitafuta maarifa ya kupasua katikati ya wachezaji wa Liverpool katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Pasadena, California, Marekani. Chelsea ilishinda 1-0, bao pekee la Gary Cahill aliyemalizia kona ya Cesc Fabregas, ambaye baadaye alitolewa kwa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Ragnar Klavan kipindi cha pili. Na Roberto Firmino aliifungia bao Liverpool, ambalo lilikataliwa kwa sababu alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alonso to stay at Leverkusen amid Liverpool interest
-
Xabi Alonso announces he will remain as manager of Bayer Leverkusen beyond
this summer despite interest from Liverpool and Bayern Munich.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment