Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Murutabose Mohamed 'Muruta' akiwa na jezi ya Mbeya City baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili akitokea Bujumbura City ya Bujumbura. Mchezaji huyo ameibukia akademi ya Lydia Ludic Bujumbura (LLB) na ameanza kuchezea timu za vijana za Burundi kuanzia U-17, U-20 na sasa U-23 akiwa tayari ameanza kuitwa timu ya wakubwa na amecheza mechi nne Int'hamba Murugamba
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment