Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL axes Appeals Board chair in explosive fallout from Lance Collard
homophobic slur verdict
-
AFL boss Andrew Dillon has fired back at a controversial decision from the
code's appeals board to reduce a player's suspension by seven weeks
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment