Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Blues stars allowed to leave camp to support Jai Arrow as he is set to ring
legacy bell for South Sydney when they take on Brisbane
-
New South Wales stars Payne Haas and Cameron Murray will be allowed to
break from the Blues' camp to support their friend Jai Arrow.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment