Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy hilariously chugs a beer before belting out Journey's 'Don't
Stop Believin' on stage with Shane Lowry after the pair's victory at the
Zurich Classic in New Orleans
-
McIlroy and Lowry came through a playoff to win the competition at TPC
Louisiana, having put it on their respective schedules in a bid to jump up
the FedEx...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment