Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Bucks' Damian Lillard a 'Serious Doubt' vs. Pacers with
Achilles Injury
-
Trailing 2-1 in their playoff series against the Indiana Pacers and already
without Giannis Antetokounmpo, the Milwaukee Bucks are also facing the
possibil...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment