Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Exeter fight back to stun Bath and reach Prem final
-
Exeter produce a stunning second-half comeback to narrowly edge defending
champions Bath 27-26 and reach the Prem final.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment