Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun election: Kalu congratulates Adeleke, says Tinubu’s future in Osun
bright despite APC’s loss
-
Former Governor of Abia State and Senator representing Abia North
Senatorial District, Senator Orji Uzor Kalu, has congratulated Osun State
Governor, Sen...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment