Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guggenheim Lifts Target (TGT) PT, Sees Turnaround Gaining Traction
-
Target Corporation (NYSE:TGT) is included among the 10 Best Dividend
Aristocrat Stocks to Buy in 2026. On April 20, John Heinbockel at
Guggenheim Partners ...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment