Winga Julian Green (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia hat-trick Bayern Munich katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Inter Milan mjini Charlotte, North Carolina, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Franck Ribery, wakati Mauro Icardi aliifungia Inter Milan bao la kufutia machozi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gattuso Defines Ideal Role for Lazio Teenager Adrian Przyborek
-
After a couple of weeks of training, Lazio head coach Gennaro Gattuso has
been able to figure out what Adrian Przyborek can bring to the table.The
Backgrou...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment