• HABARI MPYA

    Monday, July 25, 2016

    TFF NA WAUZA MATAIRI YA BIN SLUM WALIVYOTOSHANA NGUVU LEO CHAMAZI

    Nahodha wa Bin Slum Veterans, Nassor Bin Slum (katikati) akiwatoka wachezaji wa TFF katika mchezo wa Kombe la Fresco Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jioni ya Jumapili. Timu hizo zilifungana 3-3, mabao ya Bin Slum yakifungwa na  Clement Kahbuka, Mohammed Banka na Nassor Bin Slum, wakati ya TFF yalifungwa na John Mashaka, Martin Ipiana na Pino Ipiana 

    Bin Slum akitoka beki wa timu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
     Banka akijaribu kumpita beki wa TFF, Buji Sulieman
    Kipa wa TFF akidaka mpira mbele ya mshabuliaji wa Bin Slum
    Kikosi cha TFF leo
     Kikosi cha Bis Slum leo
    Kamba Luffo wa Bin Slum Tyres (kulia) akiwania mpira wa juu na mchezaji wa TFF
     Manahodha Jemedari Said wa TFF (kulia) na Said Kussi

    Jemedari Saidi akimtoka beki wa Bin Slum leo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TFF NA WAUZA MATAIRI YA BIN SLUM WALIVYOTOSHANA NGUVU LEO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top