Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akimtoka mchezaji wa Celtic katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Dublin. Barcelona ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Arda Turan, Munir na Efe Ambrose aliyejifunga wakati la Celtic lilifungwa na Leigh Griffiths PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment