Kiungo wa mabingwa wa England, Leicester City, Danny Drinkwater akiumiliki mpira wa juu kwa ustadi katikati ya wachezaji wa Oxford United usiku wa Jumaanne Uwanja wa Kassam katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya. Leicester ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Demarai Gray dakika ya 28, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Chris Maguire kutangulia kuifungia Oxford na Jeffrey Schlupp dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland beat Ireland to earn first T20 World Cup win
-
Scotland secure their first T20 World Cup win thanks to a 40-run victory
over Ireland in the Old Trafford opener.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment