Kiungo wa mabingwa wa England, Leicester City, Danny Drinkwater akiumiliki mpira wa juu kwa ustadi katikati ya wachezaji wa Oxford United usiku wa Jumaanne Uwanja wa Kassam katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya. Leicester ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Demarai Gray dakika ya 28, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Chris Maguire kutangulia kuifungia Oxford na Jeffrey Schlupp dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gervonta Davis Tells Ryan Garcia He'll 'Beat TF' Out of Him If PED Test Is
Confirmed
-
Gervonta Davis sent a stern message to Ryan Garcia in the wake of The Flash
testing positive for a performance-enhancing drug leading up to his April
20 bout…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment