Winga wa Medeama FC ya Ghana, Enock Atta Agyei akisaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Azam FC juzi mjini Sekondi-Takoradi, Ghana baada ya mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ya Tanzania akiiwezesha timu yake kushinda 3-1. Wanaomshuhudia ni Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba (kushoto) na kiongozi wa Medeama (kulii)
Alec Pierce, Colts reportedly agree to 4-year, $116 million deal ahead of
free agency
-
Pierce was considered among the top available wide receivers in this year's
free agency class.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment