Kocha wa Yanga, Tambwe Leya (kushoto), raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akimkabidhi Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mangara Tarbu (wote sasa marehemu) Kombe la ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati walilolitwaa mwaka 1975 visiwani Zanzibar kwa kuwafunga watani, Simba SC 2-0 kwenye fainali Uwanja wa Amaan. Mzee Mangara anapewa heshima ya Mwenyekiti bora kuwahi kutokea Yanga, kutokana na namna alivyoifanyia mambo makubwa klabu.
Jules Neale opens up about what keeps her going amid marriage split - and
her plans for her first Mother's Day since footy scandal erupted
-
It's been the biggest scandal in Aussie football since news of Jules and
Lachie Neale's split over an 'unimaginable betrayal' broke last November.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment