Kocha wa Yanga, Tambwe Leya (kushoto), raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akimkabidhi Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mangara Tarbu (wote sasa marehemu) Kombe la ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati walilolitwaa mwaka 1975 visiwani Zanzibar kwa kuwafunga watani, Simba SC 2-0 kwenye fainali Uwanja wa Amaan. Mzee Mangara anapewa heshima ya Mwenyekiti bora kuwahi kutokea Yanga, kutokana na namna alivyoifanyia mambo makubwa klabu.
Osun election: Kalu congratulates Adeleke, says Tinubu’s future in Osun
bright despite APC’s loss
-
Former Governor of Abia State and Senator representing Abia North
Senatorial District, Senator Orji Uzor Kalu, has congratulated Osun State
Governor, Sen...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment