Kocha wa Yanga, Tambwe Leya (kushoto), raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akimkabidhi Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mangara Tarbu (wote sasa marehemu) Kombe la ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati walilolitwaa mwaka 1975 visiwani Zanzibar kwa kuwafunga watani, Simba SC 2-0 kwenye fainali Uwanja wa Amaan. Mzee Mangara anapewa heshima ya Mwenyekiti bora kuwahi kutokea Yanga, kutokana na namna alivyoifanyia mambo makubwa klabu.
Daniel Kretinsky to become West Ham's LARGEST shareholder after striking
deal with Gold family - in wake of David Sullivan resigning amid allegations
-
The Royal Mail owner's share will rise from 27 per cent to 43 per cent
after he agreed a deal with the family of David Gold to buy an additional
stake.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment