Mshambuliaji wa PSG, Edinson Cavani akimtoka kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic katika mchezo wa kirafiki mjini Ohio, Marekani. PSG ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Thomas Meunier mawili baada ya kuingia akitikea benchi na lingine, kinda Jonathan Ikone wakati la Real lilifungwa ma Marcelo kwa penalti kipindi cha kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment