• HABARI MPYA

    Friday, July 29, 2016

    PSG YAIKUNG'UTA REAL MADRID 3-1

    Mshambuliaji wa PSG, Edinson Cavani akimtoka kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic katika mchezo wa kirafiki mjini Ohio, Marekani. PSG ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Thomas Meunier mawili baada ya kuingia akitikea benchi na lingine, kinda Jonathan Ikone wakati la Real lilifungwa ma Marcelo kwa penalti kipindi cha kwanza  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PSG YAIKUNG'UTA REAL MADRID 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top