Mshambauliaji wa Manchester United, Memphis Depay akinyoosha mguu kuufikia mpira kwenye himaya ya beki wa Borussia Dortmund, Sokratis Papastathopoulos katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Shanghai, China. Dortmund walishinda 4-1, mabao yao yakifungwa na Castro mawili dakika ya 19 na 86,Pierre-Emerick Aubameyang kwa penalti dakika ya 36 na Ousmane Dembele dakika ya 57, wakati la United lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Experts rule that Brian Brobbey SHOULD have been sent off against Tottenham
after causing Cristian Romero's season-ending injury
-
If Tottenham are relegated this season - few refereeing decisions will be
cursed more than Brian Brobbey escaping being sent off. A KMI panel has
ruled tha...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment