Mshambauliaji wa Manchester United, Memphis Depay akinyoosha mguu kuufikia mpira kwenye himaya ya beki wa Borussia Dortmund, Sokratis Papastathopoulos katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Shanghai, China. Dortmund walishinda 4-1, mabao yao yakifungwa na Castro mawili dakika ya 19 na 86,Pierre-Emerick Aubameyang kwa penalti dakika ya 36 na Ousmane Dembele dakika ya 57, wakati la United lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keon Coleman Pick Excites Bills Fans After Deebo Samuel Trade Rumors amid
NFL Draft
-
It was no secret that the Buffalo Bills needed help at wide receiver this
offseason after parting ways with Stefon Diggs and Gabe Davis. With the
first pick…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment