Mshambuliaji Masanga Masoud Cedric (kushoto), kiungo Sanga Bahende (katikati) wote kutoka St Eloi Lupopo ya DRC wakiwa na Katibu wa Simba, Patrick Kahemele (kulia) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) juzi usiku kwa ajili ya majaribio ya kujiunga na klabu hiyo. Wawili hao wamepelekwa kambini Morogoro.
Brazil vs Morocco - World Cup LIVE: Carlo Ancelotti snubs Matheus Cunha
from starting XI as five-time winners get campaign started against AFCON
champions
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as five-time World Cup winners Brazil kick off their campaign
against AFCON...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment