Mshambuliaji Masanga Masoud Cedric (kushoto), kiungo Sanga Bahende (katikati) wote kutoka St Eloi Lupopo ya DRC wakiwa na Katibu wa Simba, Patrick Kahemele (kulia) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) juzi usiku kwa ajili ya majaribio ya kujiunga na klabu hiyo. Wawili hao wamepelekwa kambini Morogoro.
Young, foreign and full of adventure... new Scotland boss Sebastien
Pocognoli is everything his predecessor wasn't
-
As is so often the case with managerial changes made in the aftermath of
failure, Scotland appear to have turned on their heels and gone in a
completely ne...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment