Mshambuliaji Masanga Masoud Cedric (kushoto), kiungo Sanga Bahende (katikati) wote kutoka St Eloi Lupopo ya DRC wakiwa na Katibu wa Simba, Patrick Kahemele (kulia) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) juzi usiku kwa ajili ya majaribio ya kujiunga na klabu hiyo. Wawili hao wamepelekwa kambini Morogoro.
Man seen eating after DC shooting reportedly Wolf Blitzer's agent
-
The CAA agent was seen calmly eating during a clip from CNN's coverage of
the White House Correspondents' dinner shooting.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment