Mshambuliaji Masanga Masoud Cedric (kushoto), kiungo Sanga Bahende (katikati) wote kutoka St Eloi Lupopo ya DRC wakiwa na Katibu wa Simba, Patrick Kahemele (kulia) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) juzi usiku kwa ajili ya majaribio ya kujiunga na klabu hiyo. Wawili hao wamepelekwa kambini Morogoro.
REVEALED: Tyrese Maxey's Game 5 heroics against the Knicks never should
have happened, as the NBA announces referees missed a travel
-
The NBA has stated that officials of Tuesday night's Game 5 between the New
York Knicks and Philadelphia 76ers missed a critical travel on Philadelphia
sta...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment