Mshambuliaji wa Fiorentina, Giovanni Simeone akiwapangua wachezaji wa Guatamela kabla ya kuifungia Argentina dakika ya 44 katika ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa kirafiki asubuhi ya leo Uwanja wa Makumbusho mjini Los Angeles, California. Mabao mengine ya Argentina iliyomkosa Nahodha wake, Lionel Messi yamefungwa na Gonzalo Martinez dakika ya 27 kwa penalti na Giovani Lo Celso dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment