Robson-Kanu akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Wales bao la pili dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Wales aambayo itakutana na Ureno Julai 6 katika Nusu Fainali yamefungwa na Ashley Williams dakika ya 30 na Sam Vokes dakika ya 85, baada ya Ubelgiji kutangulia kwa bao la Radja Nainggolan dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From Uber ambulance to local drug manufacturing: Surgeon preaches team
approach, early detection, tech in Nigeria’s healthcare
-
For nearly five decades, Professor Vincent Isibor Odigie has stood where
life and death often meet - not on a football pitch, but in the operating
theatr...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment