Robson-Kanu akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Wales bao la pili dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Wales aambayo itakutana na Ureno Julai 6 katika Nusu Fainali yamefungwa na Ashley Williams dakika ya 30 na Sam Vokes dakika ya 85, baada ya Ubelgiji kutangulia kwa bao la Radja Nainggolan dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xi Jinping and Kim Jong Un pledge to ‘resist US aggression’ during rare
North Korea summit
-
Xi and Kim pledge to keep ‘resisting US aggression and aiding Korea’
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment