UFARANSA YAFANYA MAUAJI EURO 2016, YAIFUMUA ICELAND 5-2
Kiungo Paul Pogba akienda hewani dhidi ya mabeki wa Iceland kuunganisha kona ya Antoine Griezmann kuifungia Ufaransa bao la pili katika ushindi wa 5-2 kwenye mchezo wa Robo Fainali ta yeuro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Olivier Giroud mawili, Dimitri Payet na Antoine Griezmann wakati ya Iceland yamefungwa na Kolbeinn Sigthorsson na Birkir Bjarnason. Ufaransa sasa itamenyana na Ujerumani katika Nusu Fainali ya pili Alhamisi, wakati Wales itamenyana na Ureno Jumatano katika Nusu Fainali ya kwanzaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
BVB-Frauen gewinnen 6:0 gegen Sümmern
-
Die frisch gekürten Landesliga-Meisterinnen von Borussia Dortmund haben am
22. Spieltag mit 6:0 (3:0) gegen die SF Sümmern gewonnen. Im Stadion Rote
Erde r...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment