Kiungo Nampalys Mendy akiwa ameshika skafu ya mabingwa wa England, Leicester City baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 13 kutoka Nice ya Ufaransa, huyo akiwa mchezaji wa nne kusajiliwa na kocha Claudio Ranieri anayesuka kikosi cha Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kuwasajili Ron-Robert Zieler, Luis Hernandez na Raul Uche Rubio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool Remain Keen On Recruiting This Real Madrid Winger: Dream Signing
For Iraola?
-
In a recent report, journalist Graeme Bailey claimed that Liverpool are
keen on recruiting Real Madrid winger Vinicius Junior. It has been stated
that the ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment