Kiungo Nampalys Mendy akiwa ameshika skafu ya mabingwa wa England, Leicester City baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 13 kutoka Nice ya Ufaransa, huyo akiwa mchezaji wa nne kusajiliwa na kocha Claudio Ranieri anayesuka kikosi cha Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kuwasajili Ron-Robert Zieler, Luis Hernandez na Raul Uche Rubio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tickets für die letzten Saisonspiele der U23 erhältlich
-
Für die beiden letzten Spiele unserer U23 in der Saison 2023/24 gegen den
SSV Ulm (Sa., 11.05., 14 Uhr) sowie beim Halleschen FC (Sa., 18. Mai 2024
um 14 U...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment