Kikosi cha Bandari Mtwara kikiwa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam kabla ya mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1993 dhidi ya Simba SC. Bandari haikuwahi kutwaa ubingwa nchini, lakini itaendelea kukumbukwa kwa namna ambavyo ilikuwa inaisumbua Simba kila timu hizo zilipokutana, iwe Dar es Salaam au Mtwara
J.J. McCarthy Rumors: Vikings 'Extremely Wary About Rushing' QB After NFL
Draft 2024
-
The Minnesota Vikings will be cautious with quarterback J.J. McCarthy
throughout his rookie season. According to ESPN's Kevin Seifert, the
Vikings are…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment