Kikosi cha Bandari Mtwara kikiwa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam kabla ya mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1993 dhidi ya Simba SC. Bandari haikuwahi kutwaa ubingwa nchini, lakini itaendelea kukumbukwa kwa namna ambavyo ilikuwa inaisumbua Simba kila timu hizo zilipokutana, iwe Dar es Salaam au Mtwara
Vinicius Junior uncertainty continues amid Real Madrid stance on improved
contract offer
-
The next few weeks will be decisive as to whether Vinicius Junior signs a
new Real Madrid contract or leaves the club before the summer transfer
window clo...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment