• HABARI MPYA

    Monday, May 12, 2014

    MADOGO WA TANZANIA WALIPOFUNDISHWA SOKA NA VITAALAMU VYA NIGERIA JANA TAIFA

    Kiungo wa Tanzania, Kevin Friday kushoto akiwatoka wachezaji wa Nigeria katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza kuwania tiketi ya kucheza Fainali za vijana chini ya umri wa miaka 20 nchini Senegal mwakani uliofanyika Uwa ja wa Taifa, Dar es Salaam jana. Nigeria, Flying Eagles iliifunga Tanzania, Ngorongoro Heroes mabao 2-0.
    Winga wa Tanzania, Iddi Suleiman akimtoka mchezaji wa Nigeria, Yahya Mussa
    Kipa wa Nigeria, Enahold Joshua akiwa amedaka mbele ya kiungo wa Tanzania, Gadiel Michael, huku mabeki wake wakiwa tayari kumsaidia
    Mshambuliaji wa Tanzania, Juma Luizio kushoto akipambana na beki wa Nigeria Muhamed Musa
    Mshambuliaji wa Tanzania, Saad Kipanga akiwania mpira dhidi ya kiungo wa Nigeria, Omego Prince Izuchukwu
    Kikosi cha U20 ya Nigeria
    Kikosi cha Tanzania jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MADOGO WA TANZANIA WALIPOFUNDISHWA SOKA NA VITAALAMU VYA NIGERIA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top