// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SAGNA AKUBALI DILI LA MIAKA MITATU MAN CITY, ATAKAMILISHA JUMATATU ETIHAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SAGNA AKUBALI DILI LA MIAKA MITATU MAN CITY, ATAKAMILISHA JUMATATU ETIHAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, May 22, 2014

    SAGNA AKUBALI DILI LA MIAKA MITATU MAN CITY, ATAKAMILISHA JUMATATU ETIHAD

    KOCHA Manuel Pellegrini ameshinda vita ya kwanza dhidi ya Louis van Gaal kwa kumnasa beki wa Arsenal, Bacary Sagna. 
    Beki huyo wa pembeni wa Ufaransa amekubali Mkataba wa miaka mitatu kupiga kazi Manchester City pamoja na posh nzuri na mshahara wa Pauni 150,000 kwa wiki na kuichagua timu hiyo badala ya majirani zao, United. 
    Sagna atasafiri kwenda Manchester Jumatatu kukamilisha taratibu za usajili wa kuhamia Uwanja wa Etihad. 

    Amesepa: Bacary Sagna amekubali kujiunga ban Manchester City kama mchezaji hurt kutoka Arsenal
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAGNA AKUBALI DILI LA MIAKA MITATU MAN CITY, ATAKAMILISHA JUMATATU ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top