RATIBA YA URUGUAY
Juni 14: Vs Costa Rica, Saa 2:00 Usiku, Uwanja wa Castelao
Juni 19: Vs England, Saa 2:00 Usiku, Uwanja wa Sao Paulo
Juni 24: Vs Italia, Saa 11:00 Jioni, Uwanja wa Das Dunas
MSHAMBULIAJI Luis Suarez ameshukuru kwa sapoti anayopewa katika wakati huu mgumu na amesema ana matumaini ya kuwa fiti haraka na kurejea uwanjani.
“Asanteni wote kwa sapoti yenu,’ amesema Suarez akihojiwa na gazeti la La Ovacion la nchini mwao Uruguay.
“Nitafanya kazi kimya kimya na kwa juhudi katika siku zijazo ili kuwa fiti asilimia 100 ili niweze kuwasaidia wachezaji wenzangu,”.
Suarez amefanyiwa upasuaji wa goti leo na anatarajiwa kupona ndani ya muda na kucheza Fainali za Kombe la Duni, amesema mama yake.
“Asanteni wote kwa sapoti yenu,’ amesema Suarez akihojiwa na gazeti la La Ovacion la nchini mwao Uruguay.
“Nitafanya kazi kimya kimya na kwa juhudi katika siku zijazo ili kuwa fiti asilimia 100 ili niweze kuwasaidia wachezaji wenzangu,”.
![]() |
| Asanteni wote; Luis Suarez akitoka hospitali nchini Uruguay baada ya kufanyiwa upasuaji leo |
Suarez amefanyiwa upasuaji wa goti leo na anatarajiwa kupona ndani ya muda na kucheza Fainali za Kombe la Duni, amesema mama yake.
Sandra Diaz amesema upasuaji umefanyika kwa mafanikio na mwanawe anatarajiwa kupona ndani ya wiki tatu, ambayo inamaanisha atauwahi mchezo dhidi ya England Juni 19, mwaka huu.
"Upasuaji umemalizika na tunamshukuru Mungu kila kitu kimekwenda vizuri. Matatizo yaliyokuwa yanamsumbua Luis hayakuwa makubwa sana ," alisema kuzungumzia majeruhi ya mwanawe.
"Upasuaji umemalizika na tunamshukuru Mungu kila kitu kimekwenda vizuri. Matatizo yaliyokuwa yanamsumbua Luis hayakuwa makubwa sana ," alisema kuzungumzia majeruhi ya mwanawe.
Uruguay, ambayo imedai Suarez alipata maumivu hayo katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England msimu huu, bado inajiamini atacheza Juni 19. 
Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali via Habari wajiwa nje ya hospital ya Medica Uruguaya ambako Suarez alikwenda kutibiwa
Tumaini la taifa: Nafasi ya Uruguay kufanya vizuri katika Kombe la Dunia inategema na hali ya Suarez



.png)
0 comments:
Post a Comment