Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akipambana na mchezaji wa Mwadui FC jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Mwadui Complex mjini Shinyanga. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa (kulia) akitia krosi mbele ya beki wa Mwadui FC
Kiungo wa Azam FC, Joseph Mahundi (kushoto) akiuwahi mpira dhidi ya mchezaji wa Ndanda FC
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC
Kikosi cha Azam FC kilichoanza katika mechi ya jana
Ezekiel Elliott, Dalvin Cook's Best Landing Spots After 2024 NFL Draft Day 2
-
There were no running backs selected on Day 1 of the NFL draft, but after
teams secured their first-round picks, Day 2 saw XXX taken off the board.
XXXXX For…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment