Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yussuf akimiliki mpira mbele ya beki wa Reha FC katika mchezo wa kirafiki asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 2-2
Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akijaribu kutia krosi
Kiungo wa Azam Salum Abubakar 'Sure Boy' akiwatoka wachezaji wa Reha FC
Winga Mghana wa Azam FC, Ennock Atta-Agyei akitia krosi mbele ya beki wa Reha
Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Reha
Kiungo wa Azam FC, Salmin Hoza akimiliki mpira katikati ya Uwanja
Jurgen Klopp breaks silence on Arne Slot's impending move to Liverpool as
outgoing Anfield boss calls role 'the best job in the world' ahead of his
emotional exit
-
LEWIS STEELE: Mail Sport understands that Liverpool and the Feyenoord boss
are in advanced negotiation stages and a deal for Slot to join the club
could be...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment