Kocha Mfaransa wa Arsenal, Arsene Wenger akikatiza katikati ya wachezaji wake na wa Huddersfield Town kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield mjini West Yorkshire kuaga akikamilisha miaka 22 ya kufundisha klabu hiyo ya London. Arsenal imeshinda 1-0, bao pekee la Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts of Oak players are lining up Girls for fun- Former captain Amankwah
Mireku rips into stars after poor campaign
-
Former captain of Hearts of Oak, Amankwah Mireku has gone ballistic at he
current players of the club describing them as jokers following the team's
slump ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment