Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za saba na 76 katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Erik Lamela dakika za 49 na 60 na lingine Christian Fuchs akijifunga dakika ya 53, huku ya Leicester yakifungwa na Jamie Vardy mawili dakika za nne na 73, Riyad Mahrez dakika ya 16 na Kelechi Iheanacho dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment