Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21, Mghana Emmanuel Okyere Boateng akishangilia baada ya kuifungia Levante mabao matatu peke yake dakika za tisa, 30 na 49 katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Barcelona usiku wa Jumapili Uwanja wa Ciudad de Valencia katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Levante yamefungwa na Enis Bardhi dakika za 46 na 56, huku ya Barca yakifungwa na Philippe Coutinho matatu pia dakika za 38, 59 na 64 na lingine Luis Suarez kwa penalti dakika ya 71. Hii ni mechi ya kwanza ya msimu ya La liga Barca inapoteza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment