// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); VIDIC ALIVYOWAAGA MAN UNITED KWA KUMWAGA DAMU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE VIDIC ALIVYOWAAGA MAN UNITED KWA KUMWAGA DAMU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, May 11, 2014

    VIDIC ALIVYOWAAGA MAN UNITED KWA KUMWAGA DAMU

    BEKI Nemanja Vidic ameaga Manchester United huku akibubujikwa damu baada ya kugongana na mchezaji wa Southampton, Rickie Lambert timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England.
    Vidic, ambaye anaondoka United, katika mchezo wa mwisho alipewa pogo na Lambert katika harakati za kuokoa.
    Kufuatia pogo hilo, mpira ukaenda kwa Steven Davis, ambaye alimtengenezea Lambert nafasi ya kufunga.
    Damu tupu: Nemanja Vidic (katikati) akilalamika kwa refa Mike Dean baada ya kupewa pigo na Rickie Lambert hadi kutokwa damu
    Spitting blood: Vidic dispenses with his tissue as he leaves the field
    Danny Welbeck akimtazama kwa huruma Vidic anayejifuta damua
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VIDIC ALIVYOWAAGA MAN UNITED KWA KUMWAGA DAMU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top