// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MIYEYUSHO NA MATUMLA MDOGO KATIKA PICHA JANA PTA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMIYEYUSHO NA MATUMLA MDOGO KATIKA PICHA JANA PTA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Kitu kimefika; Konde la Mohamed Matumla likiwa limetua kwenye uso wa Francis Miyeyusho katika pambano lisilo la ubingwa uzito wa Bantam lililofanyika ukumbi wa PTA, Temeke, Dar es Salaam. Miyeyusho alishinda kwa pointi.
Miyeyusho naye amefikisha mzigo kwa Matumla
Lilikuwa pambano kali
Miyeyusho akipiga chini ya mkanda
Matumla amefikisha mzigo kwa Matumla
Wanaume wakionyeshana kazi na ufundi
Unaona kazi hiyo...
Kitu kilifika, kamera ilichelewa tu
Mimi ndiyo kiboko yenu; Muyeyusho akitamba baada ya ushindi
Fuata maelekezo yangu; Rashid Matumla akimuongoza mwanawe katika pambano la jana
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment