Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi Tuzo ya Mchezaji Mwenye Umri Mdogo Zaidi kucheza Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani China. Katika sherehe hizo zilizohuhudhuriwa na viongozi wengine wa chama (CCM) na Serikali wakiwemo Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (sasa marehemu), Alhaji Mohamed Mussa na Fatuma Said Ally - Mheshimiwa Warioba pia alimkabidhi beki wa Reli, John Simkoko tuzo ya Mchezaji Mwenye umri mkubwa kuliko wote (miaka 40).
Revealed: Portsmouth fans spread HUMAN ASHES on their pitch in a
mid-pitch-invasion ceremony... killing the grass and leaving it damaged for
their last game of the season
-
Thousands of jubilant Pompey fans raced onto the pitch after a 3-2 win over
Barnsley on April 16 took the club up into the Championship.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment