Gwiji wa Liverpool, Steven Gerrard akiwa ameshika skafu ya timu ya Glasgow Rangers baada ya kutambulishwa leo kuwa kocha Mkuu wa klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Scotland, hiyo ikiwa ni timu yake ya kwanza ya wakubwa kuiongoza baada ya awali kufundisha timu vijana chini ya umri wa miaka 18 ya Liverpool tangu mwanzoni mwa msimu, kufuatia kustaafu soka mwaka 2016 akiwa na LA Galaxy ya Marekani aliyojiunga nayo mwaka 2015 kutoka Anfield alikoanza kama mchezaji wa timu ya vijana mwaka 1989 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Commended by Fans After Tyler Guyton Pick, Trade Back in 2024 NFL
Draft
-
The Dallas Cowboys used their first-round pick of Thursday's NFL draft to
take Oklahoma offensive tackle Tyler Guyton. The Cowboys originally had the
24th…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment