Gwiji wa Liverpool, Steven Gerrard akiwa ameshika skafu ya timu ya Glasgow Rangers baada ya kutambulishwa leo kuwa kocha Mkuu wa klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Scotland, hiyo ikiwa ni timu yake ya kwanza ya wakubwa kuiongoza baada ya awali kufundisha timu vijana chini ya umri wa miaka 18 ya Liverpool tangu mwanzoni mwa msimu, kufuatia kustaafu soka mwaka 2016 akiwa na LA Galaxy ya Marekani aliyojiunga nayo mwaka 2015 kutoka Anfield alikoanza kama mchezaji wa timu ya vijana mwaka 1989 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Najee Harris' 5th-Year Contract Option Declined by Steelers
-
The Pittsburgh Steelers will not pick up running back Najee Harris'
fifth-year option for the 2025 season, according to NFL insider Jordan
Schultz. The opt...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment