Shabiki maarufu wa Yanga, Mack Yanga akiwa mwenye huzuni Aprili 29, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa 1-0 na mahasimu, Simba SC. Huzuni imetawala miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa Yanga SC kwa sasa baada ya kupokonywa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na watani wao hao wa jadi.
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment