Shabiki maarufu wa Yanga, Mack Yanga akiwa mwenye huzuni Aprili 29, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa 1-0 na mahasimu, Simba SC. Huzuni imetawala miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa Yanga SC kwa sasa baada ya kupokonywa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na watani wao hao wa jadi.
The mind and methods of Wrexham's composed icon
-
Those who have worked under Phil Parkinson reveal the secrets behind his
astonishing achievements with Wrexham as they chase another play-off finale.
45 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment