Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akipunga mikono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wake wa mwisho kama kocha wa klabu hiyo baada ya miaka 22 jioni ya leo Washika Bunduki hao wakishinda 5-0 dhidi ya Burnley, mabao ya Pierre-Emerick Aubameyang mawili dakika za 14 na 75, Alexandre Lacazette dakika ya 45 na ushei, Sead Kolasinac dakika ya 54 na Alex Iwobi dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment