Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akipunga mikono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wake wa mwisho kama kocha wa klabu hiyo baada ya miaka 22 jioni ya leo Washika Bunduki hao wakishinda 5-0 dhidi ya Burnley, mabao ya Pierre-Emerick Aubameyang mawili dakika za 14 na 75, Alexandre Lacazette dakika ya 45 na ushei, Sead Kolasinac dakika ya 54 na Alex Iwobi dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' LeBron James on Game 4 Win vs. Nuggets: 'We've Given Ourselves
Another Life'
-
LeBron James says the Los Angeles Lakers were granted "another life" by
winning Game 4 against the Denver Nuggets Saturday night. James scored 30
points to…
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment