Wachezaji wa Paris Saint-Germain wakifurahia na Kombe la Ufaransa baada ya kuifunga timu ya Daraja la Tatu, Les Herbiers 2-0 mabao ya Giovani Lo Celso dakika ya 26 na Edinson Cavani dakika ya 74 kwa penalti jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris hilo likiwa taji lake la 12 la michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anioma monarchs, stakeholders endorse Nwoko for second term, backs South
East alignment
-
From Godwin Tsa, Abuja Izu Anioma, the umbrella body of all Anioma people
in Delta North, has endorsed Senator Ned Nwoko for a second term, citing
his le...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment