Mashabiki wa Liverpool wakinywa pombe kwa furaha mjini Roma, Italia jana baada ya kuwasili kuisapoti timu yao katika mchezo wa leo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma. Liverpool ilishinda 5-2 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Anfield, ushindi ambao wanatakiwa kuulinda katika mchezo wa leo Uwanja wa Olimpiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Station entrance plans on hold due to access concerns
-
Plans for Scarborough Station are criticised for not having sufficient
areas for drop-offs.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment