Mashabiki wa Liverpool wakinywa pombe kwa furaha mjini Roma, Italia jana baada ya kuwasili kuisapoti timu yao katika mchezo wa leo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma. Liverpool ilishinda 5-2 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Anfield, ushindi ambao wanatakiwa kuulinda katika mchezo wa leo Uwanja wa Olimpiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Artemi Panarin, Rangers Championed By NHL Fans for Sweeping Alex Ovechkin,
Capitals
-
The New York Rangers are the first team to advance in the 2024 Stanley Cup
Playoffs. After taking the first three games of the series against the
Washington…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment