Kelechi Iheanacho akiruka kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Leicester City dakika ya 14 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Jamie Vardy kwa penalti dakika ya 76 na Riyad Mahrez dakika ya 90, wakati la Arsenal limefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's ENTIRE squad 'is up for sale' - with just THREE players named
as 'off limits' - and club will listen to offers for Marcus Rashford as
they face having to sell to make big signings
-
The club's new hierarchy, led by co-owner Sir Jim Ratcliffe and incoming
CEO Omar Berrada, are prepared to be brutal with potential outgoings at the
end of...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment