Bondia David Haye (kulia) akimtambia mpinzani wake, Tony Bellew leo wakati wa kupima uzito kuelekea pambano lao la Jumamosi usiku ukumbi wa 02 Arena, Millenium Dome, Greenwich. Hilo ni pambano la marudiano baada ya Bellew kushinda kwa Knockout (TKO) raundi ya 11 Machi 4 mwaka jana kufuatia Haye kuumia mguu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Houston Texans receiver Tank Dell was 'a victim of a shooting in Florida on
Saturday night', the team announces... before being released from hospital
with a 'minor wound': 'He's in good spirits'
-
Texans wide receiver Tank Dell was the victim of a shooting on Saturday
night, according to the team.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment